![]() |
Dj Pro |
"Jitume sana kuisikiliza #rema_fm - #radio_culture - #bonesha_rm - #radio-salama - #ccib_fm+ maana kuna kitu muhumu kitatangazwa siku za mbele ni muhimu sana kwako wewe kama shabiki wangu wa pande za #bujumbura_burundi #team_pro_negger "
Maneno hayo aliyo andika yameacha wengi kwenye labda labda na wengi kuhitaji kujuwa kwanini? Anamaanisha nini ? Ao anataka kurudi nyumbani ? Jibu ni kuwa kuna video ijulikayo kama * Sugar mamy * yupo anatengeneza na ABDUL KESHY wa Keshy Video Lab. i 4Cos MEDIA , mmoja kati ya ma Best Producer wazuri wenye uwezo pande zile akiwa ni mzaliwa wa Burundi , wakiwa bado wanachukuwa picha za video hiyo anamulika kutulia nayo kwanza itakapo malizika na atakapo wasili Bujumbura iwe ndio zawadi tosha kwa washabiki wake .Alitwambia :'' Wambiye kama video sinto iacha south africa
mpaka nifike buja ndo ntaicha kwa kuonesha mapenzi mashabaiki wangu
wenye wako pande izo walikuwa wanasubiri kazi yangu kwa mda mrefu."
![]() |
Huu ni upande umoja wa cover ya CD ya album yake atakayoizundulia Buja-Burundi. |
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire