mardi 17 septembre 2013

Cap Town : Dj Pro Negger :" Msahau kwao mtumwa..."

Dj Pro
 RAMADHANI KIZA ndilo jina alo tumiya kwenye vitambulisho vyake ila kwa upande wa tasnia ya mziki anapokuwa kwenye stage anafarika zaidi unapo muita Dj Pro , msanii huyo wakizazi kipya anae isabilika kwenye Top ya wasanii wanaovaa vizuri kwa muda wote , yaani wasanii wasafi kwaupande wa urundi flava , na kwasasa akianza kupenya ata kwenye Top ten ya kanda ya africa mashariki alilonga na BB (Burundi beat) akawa amefunguka nakuandika kwenye ukurasa wake wakijamii wa facebook :
 
"Jitume sana kuisikiliza #rema_fm - #radio_culture - #bonesha_rm - #radio-salama - #ccib_fm+ maana kuna kitu muhumu kitatangazwa siku za mbele ni muhimu sana kwako wewe kama shabiki wangu wa pande za #bujumbura_burundi #team_pro_negger " 
 
Maneno hayo aliyo andika  yameacha wengi kwenye labda labda na wengi kuhitaji kujuwa kwanini? Anamaanisha nini ? Ao anataka kurudi nyumbani ? Jibu ni kuwa kuna video ijulikayo kama * Sugar mamy * yupo anatengeneza na ABDUL KESHY wa  Keshy Video Lab. i 4Cos MEDIA , mmoja kati ya ma Best Producer wazuri wenye uwezo pande zile akiwa ni mzaliwa wa  Burundi , wakiwa bado wanachukuwa picha za video hiyo anamulika kutulia nayo kwanza itakapo malizika na atakapo wasili Bujumbura iwe ndio zawadi tosha kwa washabiki wake .Alitwambia :'' Wambiye kama video sinto iacha south africa mpaka nifike buja ndo ntaicha kwa kuonesha mapenzi mashabaiki wangu wenye wako pande izo walikuwa wanasubiri kazi yangu kwa mda mrefu."



Huu ni upande umoja wa cover ya CD ya album yake atakayoizundulia Buja-Burundi.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire