jeudi 21 novembre 2013

Bruxelles : Diamond na Dream Boys ziarani Ubelgigi tarehe 7/December/2013.

1476268_651411888213962_1786347893_n
Msanii wakizazi kipya ,mwenye hadhi ya hali ya juu DIAMOND PLATNUMZ kwa ushirikiano na kundi la Wasanii DREAM  BOYS kutoka Rwanda wamepewa shavu na jopo la maandalizi la kumteuwa mlimbwende bora kwenye ukanda wa Africa mashariki  (Miss East african) . Wanasubiriwa kwa hamu Mjini Bruxelles ifikpo tarehe 7/December/2013. Mpangilio na ratiba soma kwenye bango hapo juu.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire