dimanche 19 janvier 2014

CHAN 2014 : Huu ni ujumbe wa Mh Raisi wa Burundi baada ya Burundi jana kuishinda Mauritania 3-2...



Huu ndiyo ujumbe wa Raisi wa Burundi Mh Pierre NKURUNZIZA baada ya jana Intamba kuishinda Mauritania bao 3 kwa 2 :

" Mes félicitations à l'équipe nationale du Burundi. Un bon match, une bonne possession de balle, bref, tout ce qui prouve que notre football évolue. Allez de l'avant ..." ,

Akimaanisha Mh Raisi :" Heko kwa timu ya taifa ya Burundi . Mchezo mzuri , uzibiti mzuri wa mpira , kiufupi ,imeashiriya kuwa soka ya nyumbani inaelendeleya vizuri . Songa mbele..."

Kwa wale ambao hawakutizama moja kwa moja mchuano huo , bofya hapa utizame video ya mchuano wa jana :

http://www.supersport.com/football/chan-2014/video/318424

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire