Kwenye mkutano alio uendesha leo hii mama Lydia NSEKERA , kiongozi wa Shirikisho la mpira nchini alifahamisha waandishi na watangazaji kuhusikana na account kwenye Interbank Burundi namba 701-03303-82-23 kwa jina la FFB-CHAN 2014. Imefunguliwa kwa niaba yakuanda bahasha nono kwa wachezaji wa timu ya taifa Intamba Murugamba wtakao wakilisha Burundi kwenye mashindano ya CHAN mwakani nchi South africa . Wachezaji hao watakao jielekeza pande zile ni wale watakaocheza nchini kenya mashindano ya CECAFA mwezi wa November hapatakuwepo mabadiliko yoyote ila tu pakitokea hali ya sintofahamu kwa wachezaji .
FFB itaraissisha vile vile kupatikana kwa tiketi zakushughudia michuano ya kombe la dunia kati ya tarehe 8 December 2013 na 8 January 2014. Tarehe yakugawa timu kwenye makundi kwenye CHAN imepangwa kufanyika tarehe 18 September 2013 nchini Misri.
FFB itaraissisha vile vile kupatikana kwa tiketi zakushughudia michuano ya kombe la dunia kati ya tarehe 8 December 2013 na 8 January 2014. Tarehe yakugawa timu kwenye makundi kwenye CHAN imepangwa kufanyika tarehe 18 September 2013 nchini Misri.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire