mercredi 13 novembre 2013

Pole sana DADDY FACE...


Msanii DADY FACE mzaliwa wa Tarafa ya Kamenge ambae kwasasa anaishi New York/ Marekani apo juzi alipatwa na ajali yabarabarani akiwa kwenye gari lake anarejeya nyumbani . BB inamtakiya afuani...
Hizi apa ni baadhi ya picha za ajali hiyo :
 
  Hii ni gari aliyokuwa anatumiya ,apo ni baada ya ajali :






Hebu mcheki kabla ya ajali:

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire