![]() |
Mchezaji huyo ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia, FIFA Ballon d’Or amewaahidi madaktari wa Madrid kuwanunulia gari mpya baada ya kushinda tuzo hiyo wiki hii .
Katika mahojiano ya hivi karibuni na Sportsmail, kocha wa Real Madrid , Paul Clement amezungumzia mambo ambayo Ronaldo atayafanya atakaporejea kutoka kwenye mechi za katikati ya wiki za Ligi ya Mabingwa . Ronaldo anatambua na kuheshimu sana mchango wa madaktari wake na wakati wote amekuwa mkweli wa ahadi kwao na awali amekwishawahi kuwazawadia saa mpya na simu aina ya iPhones toleo jipya.
![]() |
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire