Msanii kutokea kenya anaetambulika kama JAGUAR ndie ataichukuwa na fasi ya msanii wa kike MAMPI aliekuwa ametajwa kabla kuwa atadumbwiza siku ya fainali ya mashindano ya PRIMUSIC 2013 . Mabadiliko hayo yamejitokeza kutokana na muda wa Tamasha aliekuwa ameipangilia MAMPI kuwasili Burundi kuna nyingine ambayo anahitajika sana .
JAGUAR atawasili Burundi baada yakutofika kwenye tamasha ya *Buja Summer fest* aliokuwa amealikwa ila pakawepo hitilafu flani kuhusikana na matakwa yake akawa hakuweza kutokea . Msanii huo ambae anamiliki ndege yake binafsi tayari alishaongea na sim na msanii Big Fizzo ili watoe nae pini , Fizzo yuko tayari na hio itafanyiwa atakapokuwa ziarani Burundi . Kwa wale wa penzi wa mziki nchini , mnafahamishwa kuwa tamasha ya try out , yamaonyesho ya wasanii 6 waliojaliwa kuingia kwenye fainali itafanyika tarehe 8/September/2013 COCKTAIL BEACH kuanzia saa nane mchana . Habari ndio hio...
JAGUAR atawasili Burundi baada yakutofika kwenye tamasha ya *Buja Summer fest* aliokuwa amealikwa ila pakawepo hitilafu flani kuhusikana na matakwa yake akawa hakuweza kutokea . Msanii huo ambae anamiliki ndege yake binafsi tayari alishaongea na sim na msanii Big Fizzo ili watoe nae pini , Fizzo yuko tayari na hio itafanyiwa atakapokuwa ziarani Burundi . Kwa wale wa penzi wa mziki nchini , mnafahamishwa kuwa tamasha ya try out , yamaonyesho ya wasanii 6 waliojaliwa kuingia kwenye fainali itafanyika tarehe 8/September/2013 COCKTAIL BEACH kuanzia saa nane mchana . Habari ndio hio...
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire