jeudi 21 novembre 2013

Sat b atawasha moto Mkoani Gitega Jumaa-mosi hii...

delos6

Msanii mzoefu BIZIMANA Aboubakar Karoume a.k.a Sat b asubiriwa Mkoani Gitega ifikapo tarehe 23/11/2013 kwenye ukumbi wa Tropitel . Tulipo hojiana naye kuhusikana na tamasha hiyo ,alitufahamisha kuwa :" Nimeamuwa kubadili hewa kidogo ,ili ujumbe wangu uskike pande zote..." kumbuka ya kuwa week-end iliopita aliwasha moto kwa vy'Isi akiwa na kombaini ya Wasanii wa Buja wanaofanya vyema bila kusahau ushirikiano tosha wa Msanii wa kike ALIDA BARANYIZIGIYE . Mengi zaidi soma kwenye bango hilo...

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire