Pichani : Bobona , Dareck mwanae na Camilla mkewee |
Ujuzi kijana huo aliupata alipokuwa kwenye kundi la Hop Street , kundi alilokoma nalo takribani miaka 6 , mwaka 2011 ndipo alifunga pingu za maisha na raia kutoka Italia RODA CAMILLA , tarehe 3/11/2013 wakabahatikiwa kupata mtoto wa kiume Dareck NIKUZE , mtoto wa pekee ambao wanae hadi sasa . Pini ya kwanza aliyoachiya ikijulikana kwa jina la *Mbariza* mwezi wa 11/2011 ilimpa nguvu na akawa amepata na fasi nyeti yakujielekeza na mkewe nchini Italia ambako alijiunga na wengine wasanii pande zile wakawa wameunda kundi lijulikanalo kwa jina la 'ASKAN WI ' , kupitiya nyimbo waliyo imba kwa kirundi * Ndakuyagire *, kati ya kundi 23 , nyimbo hiyo ilisimama kwenye na fasi ya 2. Kwa wakati huu yupo Burundi na tayari ku unda kundi lake binafsi 'ABAHIGI' .
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire