mardi 28 janvier 2014

Huu ndie Mrembo wa Staa wa Bongo flava ALIKIBAA...

Akiwa ziarani nchini kenya Staa wa mitindo ya bongo flava ALIKIBAA alipost kupitia instagram yake picha hii ya mrembo wake . Fahamu ya kuwa msanii huo alikuwa nchini Kenya kurikodi nyimbo aliyofanya kolabo na REDSAN .

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire