samedi 23 mars 2013

KIKI TOURE :" Primusic yampaye icigwa..."(Primusic ilinipa somo kubwa).


IRANKUNDA JOE-CHRISTIAN ni Msanii wakizazi kipia nyota yake ilio anza kungaara baada ya kuonekana sehemu akirejelea nyimbo za wakongwe wa mziki na zile zinazo nuka upya kupitia sehemu mbali mbali ya furaha maarufu karaok , tulifanya mahojiana nae kwa lugha ya kirundi baadae tukaona ni vyema kutafsiri kwa kiswahili ,soma interview tuliofanya nae...


  • Amidou HassanInyuma yaho amahiganwa ya Primusic ararangiye haciye amezi ashika kuri 3 , umaze gukora iki nk'umunyamuziki? Arafise ico yakunguye naho udatahukanye itsinzi muri barya 3 bambere? Imigambi ya hafi woba ufise yoba ari iyihe? /

    Baada ya mashindano ya Primusic kumalizika yapata sasa miezi 3 ,kipi ulishakifanya kama Mwanamuziki ?Mashindano hayo yamekupa somo gani japo hukuwa kati ya washindi 3 wa kwanza ? Mipango yako yakaribu ni ipi ?
  • Joe Christian IrankundaKuva mvuye muri primusic narabonye ko nkwiye gukora carriere yanje nk'umunyamuziki kuko intumbero yambere yatuma nja muri ayo ma competitions non seulement ama prix muga nashaka ko ndonka audience ikwiye kugira ni nasohora n'ururirimbo rumwe babe baruzi binyaruke kumenyekana kandi ma vision yari East africa kuko urazi ko usohoye umuziki i Burundi ukaguma i Burundi ntaho uba uriko uraja kuko n'ibintu vyinshi bitarakorwa ku bijanye n'umuziki mu Burundi. Mfise imigambi myinshi ngiye gushira ahabona vuba cane , ni hagera nzobibamenyesha.../

    Toka nitokeye kwenye mashindano ya Primusic niligunduwa kuwa napaswa kutumika kama Mwanamuziki kwasababu shaba yangu ya kwanza ilionituma ni ingie kwenye mashindano hayo haikuwa kushinda Tunzo tofauti tofauti ila nilikuwa nalenga nipate ufunguo wakujitangaza vilivyo ili mdaa wowote nikitowa nyimbo mpia iwe haraka kujulikana na lengo kubwa ilikuwa ni East africa kwasababu ukitolea mziki Burundi na ukasalia Burundi hakuna mahali utakapo kuwa unakwenda kwani mambo mengi bado hayajapatiwa jawabu kwa upande wa muziki . Niko na mipango mingi ambayo ntaiweka hadharani hivi karibuni , pakifika ntawajulisheni .
  • Amidou HassanNigiki catumye ushima kwinjira muri ayo mahiganwa yompi ? Mbwira indirimbo umaze gushira ahabona, zingana iki? Amazina (Titres) yazo ? /

    Kipi kilichokuvutia nakuweza kushiriki kwenye mashindano hayo yote ? Nambie nyimbo ambazo ziko kwenye soko , nipe idadi na majina ?
  • Joe Christian IrankundaIgituma nagize arya ma competitions yose , nko muri Tusker Project Fame utabaye uwambere uronka aba fans benshi bo muri east africa , hama indirimbo maze kugira nkaba nshaka kuzishira murukurikirane rw'indirimbo zanje rwambere ruzokwitwa "first step" bisigura intambuko yambere canke intambwe , hariho *set me free * nasohoreye Kenya hagasubira *girls like her* nasohoreye muri Menya media studio kwa Big base ubu nkaba ngira nsohore iyitwa * Mbe kugiye? * vuba muzoyumva... /

    Kilichotuma niwe kwenye mashindano yote yale , kama kwa mfano kwenye mashindano ya Tusker Project Fame kama hautoki wa kwanza unapataga Washabiki wengi mno kwenye kanda ya East africa , alafu nyimbo ambazo nilishajaliwa kutengeneza ambazo zitaingia kwenye album yangu ya kwanza itakayojulikana kama "First step " nikimaanisha Mskumo wangu wa kwanza ni pamoja na *Set me free * niliotolea Kenya , ingine ni *girls like he* niliotolea Menya media Studio kwa ushirikiano na Big Base , hivi karibuni ntaachia pini *Mbe kugiye?* mtaiskia...

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire