dimanche 6 janvier 2013

SAL G:" Mwaka 2013 nataraji kusonga mbele zaidi."


SAL G


Msanii wa kiume SALEH GIHOZO a.k.a Sal G anae ondoka na miondoko ya RNB nchini Burundi ameifahamisha blog yetu hii kuwa mwaka 2013 anataraji kufanya mambo makubwa tena yenye ujuzi wa hali ya juu.Ametufahamisha :" Hivi karibuni nataraji kufanya nyimbo itakao simama na jina 'Niwihebure' akipenda mungu itatoka na video yake mwezi wa 2 (february),pini hio itatengenezwa KISU Records,video chini ya mautundu ya A Tizo Technology ,na video itatengenezwa na Andilair technology Films na baada ya hio nataraji kufanya colabo na mpenzi wangu MISS ERICA,nyimbo hio itaitwa 'Mbegiy love'..."

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire