dimanche 15 septembre 2013

U.S.A : DADDY FACE anatamba ile mbaya na pini *Miss mamtoni* marekani...

Daddy Face...

    Burundi yazidi kupanuka zaidi kwenye tasnia ya mziki baada hapo jana kukufkishieni habari za vijana ambao waliungana kutokea Burundi na Tanzania , leo hii naichukuwa fursa kukutangazieni kingine kio cha jamii ambacho chadhihirisha maendeleo makubwa kwa mudaa mdogos sana kikiwa ndio bado kinaingia kwenye game hio ,huo si mwingine bali ni mzaliwa wa Tarafa ya Kamenge ,Mkoani Bujumbura ambae alipata na fasi nzuri yakuelekea mamtoni na akawa amejaliwa kuona ni vyema kuitangaza nhi yake kupitia mziki . Nilipata fursa yaku chat nae kupitia ukurasa wa kijamii wa facebook , na hii apa ni interview fupi niliofanya nae . Nilianza kumu uliza jina lake hali ,akanijibu :
  • Dady Desire

    Naitwa Jean Désire Manirampa a.k.a daddy face.
  • Amidou Hassan

    Umezaliwa wapi? na una umri gani ?
  • Dady Desire

    Mimi ni mazaliwa Burundi,sehemu pajulikanapo kama Kamenge,nina miaka 23.
  • Amidou Hassan

    Nipe faida kidogo kuhusikana na kuingia kwako kwenye tasnia ya mziki ?
  • Dady Desire

    Mi meenza mziki mwaka 2005 nimeimba kwenye makundi tofauti but sikufanyikiwa ku record nyimbo yoyote ile na hii ngoma * Miss Mamtoni * ndo ngoma yangu ya kwanza na niko zingine kibao ziko jikoni zinakuja zina tisha Kama mvua za sunami.
  • Amidou Hassan

    Makundi gani uliyoyapitia?
  • Dady Desire

    Makundi nilio pitia yalikuwa hajafahamika sana, 2005 nijiunga na kundi la walio wengi family ya Kamenge mwaka , 2006 ni jeans a bongo tz nilikuwa kwenye issue za kuja huku Marekani then ni kajiunga na linaitwa kio cha jamii
  • Amidou Hassan

    Ulisafiri lini? nipe orodha ya nyimbo utakazo towa hivi karibuni! unatumika na studio gani?
  • Dady Desire

    Kuna nyingine inaitwa *Mama* ambayo nimemuimbia mama yangu mzazi pamoja na nyingine ntakayo mshirikisha msani wa kike from bongo but sinto weka wazi jina lake na real love iko kwenye style ya R&B na nimeimba kimombo kitupu mjomba
    Nilikuja huku Marekani 2009.
  • Amidou Hassan

    Nashkuru sana Jembe...
  • Dady Desire

    Mimi ndio wakukushkuru Mjomba...

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire