dimanche 15 septembre 2013

PRIMUSIC 2013/ Fainali : PATIENT MATABARO mshindi wa milioni 15.

Pichani  : Matabaro na Baba yake mzazi
Mashindano ya Primusic mwaka huu jana Jumaa-pili tarehe 14/9/2013 ndipo yaligonga ukuta ,huku wasanii 6 waliojikatia tiketi yakushindana fainali walipambana vyakutosha huku kila mmoja wao akijivunia alama za ujumbe mfupi wa sim za mkononi na uchaguzi kupitia website ya Primusic .
Photo : Ama tike agra hejuru mu ghe kare babnza kurba k arayukuri. Kand mwmenya k hahez umwanya tuberets abriko brazgurisha kand atari abkoz b brarudi.
Arik mwmenya k twbnye umwe mu bmbye imipir ya brarudi arik tutokwemeza ijana kwi jana ko ariy akora arik
Raia waliohudhuria walikuwa wengi sana,ni mara ya kwanza kutokea Burundi,apo ni mlangoni...
Kama tulivyowajulisha apo mwanzo kila msanii alilazimika kuimba nyimbo 2 , na kati ya hizo walizozi imba live wakisaidiwa na wapigaji alaa,kila mmoja wao alifanya vizuri kulingana mchango walio utowa wachakachuwaji (JURY) wamashindano hayo BUDDY,NGANJI,ALIDA,SOGO na AMIR PRo waliofanya kazi kubwa kuyatowa matokeo moja kwa moja baada yakujumuisha alama pande zote mbili. Kinyume na mashindano hayo gwaride ndefu ya muziki ilidumbwizwa na mlolongo wa Wasanii kila mmoja akionyesha ujuzi wake kuanzia mavazi hadi kurusha roho raia waliohudhuria kwenye ukumbi wa Shule la secondary la Nyakabiga maarufu kama Lycée Scheppers . Kwenye picha hizo hali halisi ya Tamasha ilivyokuwa :


Baada yakuimba na Jury kujumuisha alama walizozipata , walifatana ifatavyo tukianzia kuwa 6 hadi wa 1 :


 

 Samantha alichukuwa na fasi ya 2 ,akajikusanyia milioni 5 , Mshindi wa Primusic 2013 wa kwanza ni :


Kinyume na zawadi hizo zilizotolewa ifahamike ya kuwa kabla yakuzitowa moja kwa moja Wasanii wengine walidumbwiza vyakuridhisha kama  STEVEN SOGO na kundi lake la *Hope Street* , Sat b The Independant na kundi lake la *Top Dance* ,wachezaji wake wakiwa nyuma yake kila mmoja akivalia shirt ya jina lake , Lolilo na Loliane wakiwa wamevalia nguo za kijeshi . Kwa upande wa wasanii wa Burundi aliemalizia ilikuwa ni Big Fizzo ambae nayeye alishindikizwa na Wachezaji wake wa wakivalia shirt za jina lake na yeye mwenyewe akivalia nguo yaijeshi na viato vile vile . Kasheshe ilikuja kutokea baada ya JAGUAR ,mgeni rasmi wa PRIMUSIC 2013 kuingia jukwani ndipo mataa kwa upande wa ufundi yalikatwa na akawa hakuimba na Tamasha kumalizika hivo . Baadhi yawale kuwepo hapo kwenye ukarasa wa kijamii wa facebook kila mmoja aliandika yakwake na majibu yakuelekezana yakatolewa :

Mbega Amatara y'uburundi yob yanka jaguard?
Haheze iminta irenga mirongo itatu amatara yacits.
Abant bakba btashe bsiz umuririmvyi jaguard ataririmvye.
J’aime ·  · 

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire