mercredi 28 août 2013

Happy Famba ziarani africa mashariki hivi karibuni...

Msanii mwenye uzoefu wakumiliki jukwaa HASSAN IBRAHIM maarufu Busness mana ao Mr Happy Famba kama ilivyokuwa kawaida yake mwaka kwa mwaka kutembelea nchi jirani kusoma wanavyofanya ili wazidi kuwa juu zaidi kimziki , mwaka huu anatarajia kufanya mzungu uko wa nchi kadhaa ili kuji imarisha ipasavyo kwenye kazi yake hio . Tulipo muuliza kuhusikana na habari hio alitwambia : " Ifikapo Jumaa-tatu akipenda mungu ntachukuliwa picha (shooting na Guerra Man ) ya nyimbo nilio itengeneza nikimshirikisha Jay Fire *baby girl* na baada ya shughuli hio ntaitika wito wa show biz east african ambayo imenikubalia kunilipia nyimbo moja kwa Washington nchini Uganda , nyingine kwa Ogopa dj nchini  Kenya ila mbele yayote kuna producer raia kutokea  Rwanda anaitwa Paster p kuna nyimbo amenitengenezea sasa kunabaki vitu vidogo ili animalizie sasa taanzia kwakwe Rwanda kisha nifike naonganisha Kampala ntarudi . Baada ya mwezi umoja tafika naenda Kenya kwa Ogopa dj tapokelewa na mwana mziki mwenzangu pia ni rafiki yangu sana Jaguar alietamba na nyimbo yake *kigeu geu* na kwa muda huu yuko juu na nyimbo *kipepeo* ." Baadhi ya picha ya ziara zake na mastaa alishagakutana naonakupanga kazi nao :


Famba & NIYAMUREMYE Claude Abdallah a.k.a Dr Claude



Pichani : Famba , Ali Kibaa , Kidum , Member , Ariane & Dany

Pichani akiwa na Mickeal ross na ya juu yake akiwa na marehemu kanumba.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire