mercredi 20 février 2013

Kigali: -BEENIE MAN ndie atafunguwa rasmi FESPAD nchini Rwanda ifikapo tarehe 23 February hadi tarehe 2 March 2013 kwenye Uwanja wa AMAHORO.

FESPAD maonyesha ya muziki wakiafrica yanayojiri kila mwaka nchini Rwanda,mwaka huu yatakuwa yameingia kwenye mwaka wake wa 8. Maonyesho hayo maarufu kama FESPAD yataanza rasmi tarehe 23/2 hadi tarehe 2/3/2013 Jijini Kigali kwenye uwanja wa AMAHORO . Hadi mdaa mdaa huu nchi za Africa 10 ndizo zitashiriki nazo ikiwa pamoja na : Tanzania, Egypt, Uganda, Cameroun, Namibia, Liberia, Madagascar, Burundi... na Rwanda wenyeji. Kwakufungua rasmi maonyesho hayo, Rwanda imempa shavu Msanii kutokea pande za Marekani mkali wa Dancehall BEENIE MAN.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire