mercredi 1 janvier 2014

FFB : Vital'o Fc imemaliza mwaka 2013 ikiwa kileleni kwenye msimamo wa Ligi ...

Baada ya Ligi kuanza kwa kasi leo hii imechezwa michuano ya Wiki ya 4 , jumla ya Timu 14 zilipambana na haya ndiyo matokeo ya jana kwenye Viwanja tofauti nchini Burundi :

* Ngozi        : MESSAGER NGOZI 0-0  LLB ACADEMIC saa Tisa ( 15h )
* Muramvya : ROYAL FC 0 - 1 FLAMBEAU DE L’EST Saa Tisa ( 15h )
* Gatumba    : ESPOIR 1-1 MUZINGA saa Tisa (15h) 
* Bujumbura : ATHLETICO 0 - 1 VITAL’O saa Tisa (14h)
* Bujumbura : ACADEMIE TCHITE 0 - 1 INTER STAR saa kumi (16h) 
* Buterere    : VOLONTAIRE 0 - 0 FLAMENGO Saa Nane (14h)
* Buterere    : PRINCE LOUIS 0 - 0 LES GUEPIERS DU LAC Saa Kumi (16h).

- Fahamu ya kuwa Ligi imesimama kwa muda kulingana na maandalizi ya Timu ya taifa itakayo safiri kuelekeya kwa Mandela ifikapo tarehe 6/January/2013 . Ligi imepangwa kuendeleya watakapo toka kwenye mashindano ya CHAN .

Msimamo wa Ligi / Wiki ya 4
-----------------------------------------
1. Vital'o Fc 9 points
2. Lydia Ludic Bdi Academic 8 points
3. Les Guêpiers du Lac 8 points
4. Flambeau de l'Est 8 points
5. Prince Louis 8 points
6. Volontaires 7 points
7. Inter Star 7 points
8. Messager Ngozi 6 points
9. Académie Tchite 5 points
10. Athletico Olympic 2 points
11. Royal Fc 1 point
12. Muzinga Fc 2 points
------------------------------------
13. Espoir Fc 1 point
14. Flamengo 1 point

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire