mercredi 17 avril 2013

Dar es Salaam : FILAMU YA KANUMBA SASA IPO MADUKANI

Yapata mwaka na siku kadhaa baada ya Marehemu Steven Charles Kanumba kutoweka duniani , na kama mlivyosoma kupitia majarida , nakushughudia kwenye viona mbali Steven alikuwa amejaliwa kuicheza flamu na Waigizaji wa bongo movies Patcho Mwamba , Sharo Milionea (kisha fariki nayeye), Irene Paul sasa ipo madukani baada yakuchakachuliwa na kampuni ya usambazaji nchini pale Steps Entertainement . Filamu hio inaitwa 
 
'LOVE & Power'

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire